Habari za Punde

IGP Sirro Apokea Msaada wa Magari Manne Kwa Ajili ya Kuimarisha Ulinzi Jijini Da es Salaam.

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro na Meneja Mkuu wa kampuni ya utengenezaji magari ya Haval, Jianguo Liu wakikata utepe kuashiria kukabidhiwa magari manne yaliyotolewa na kampuni hiyo ikiwa ni juhudi zake katika kulisaidia Jeshi la Polisi kupambana na uhalifu nchini. Hafla hiyo imefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Polisi, Oysterbay, jijini Dar esSalaam
MkuuwaJeshi la Polisi nchini (IGP), Simon SirroakisikilizamaelekezoyajinsiinavyotumikamojayamagarimannewaliyokabidhiwanaKampuniyautengenezajimagariyaHaval.AnayemuelekezaniMenejawaKampuniyaKifaru,Mario Gaspari.HaflahiyoimefanyikaleokatikaUkumbiwaMikutanowa Polisi,Oysterbay,jijini Dar es Salaam
MkuuwaJeshi la Polisi nchini (IGP), Simon SirroakikaguamojayamagarimannewaliyokabidhiwanaKampuniyautengenezajimagariyaHaval.AmbapoaliishukurukampunihiyokwakushirikiananaJeshi la Polisi katika vita yakupambananauhalifu.HaflahiyoimefanyikaleokatikaUkumbiwaMikutanowaPolisi,Oysterbay,jijini Dar esSalaam
MkuuwaJeshi la Polisi nchini (IGP), Simon SirroakizungumzawakatiwaHaflayamakabidhianomagarimanneyaliyotolewanaKampuniyautengenezajimagariyaHaval, ambapoaliishukurukampunihiyokwakushirikiananaJeshi la Polisi katika vita yakupambananauhalifu.HaflahiyoimefanyikaleokatikaUkumbiwaMikutanowaPolisi,Oysterbay,jijini Dar es Salaam
MenejawaKampuniyautengenezajimagariyaHaval,Jianguo Liu,akizungumzawakatiwaHaflayamakabidhianomagarimanneyaliyotolewanaKampunihiyoambapoaliahidikushirikiananaJeshi la Polisi katika vita yakupambananauhalifunchini.Kushotoaliyesimamanimkalimaniwalughayakichina.HaflahiyoimefanyikaleokatikaUkumbiwaMikutanowa Polisi, Oysterbay, jijini Dar es Salaam
MkuuwaJeshi la Polisi nchini (IGP), Simon SirroakipitambeleyamagarimanneyaliyotolewanaKampuniyautengenezajimagariyaHaval, ambapoaliishukurukampunihiyokwakushirikiananaJeshi la Polisi katika vita yakupambananauhalifu.HaflahiyoimefanyikaleokatikaUkumbiwaMikutanowa Polisi,Oysterbay,jijini Dar es Salaam
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro (wannekulia), akiwa katika picha ya pamoja na Meneja wa Kampuni ya utengenezaji magari ya Haval, Jianguo Liu (watatu kushoto),baada ya makabidhiano ya magari manne kutoka kwa kampuni hiyo ikiwa ni mchango wao katika kulisaidia Jeshi la Polisi kupambana na uhalifu nchini.Wengine ni viongozi wa juu wa jeshi na viongozi wa kampuni ya Haval. Hafla hiyo imefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Polisi, Oysterbay, jijini Dar es Salaam
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI-WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.