Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja na Wakuu wa Wilaya Aliyewateua Hivi Karibuni

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Hamida Mussa Khamis, kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, hafla hiyo ya uapisho iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3-7-2025




RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Cassian Gallos Nyimbo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Magharibi “A” Unguja, hafla hiyo ya uapisho iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3-7-2025.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi hati ya kiapo Mhe.Cassian Gallos Nyimbo, baada ya kumuapisha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Magharibi “A” Unguja leo 3-7-2025, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Rajab Ali Rajab kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kati Unguja, hafla hiyo ya uapisho iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3-7-2025


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Miza Hassan Faki kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mkoani Pemba, hafla hiyo ya uapisho iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3-7-2025.


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi hati ya kiapo Mhe.Miza Hassan Faki, baada ya kumuapisha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mkoani Pemba leo 3-7-2025, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Mohammed Ali Abdallah kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja, hafla hiyo ya uapisho iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3-7-2025.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Amour Yussuf Mmanga kuwa Mkuu wa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, hafla hiyo ya uapisho iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3-7-2025.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi hati ya kiapo Mhe.Amour Yussuf Mmanga, baada ya kumuapisha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-7-2025, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.