Habari za Punde

Wagombea Uwakilishi na Udiwani Jimbo la Magimeni Kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wanechukua Fomu za Kuteuliwa Kuwania Nafasi hiyo Ofisi za Uchguzi Wilaya ya Mjini Unguja

WAGOMBEA Uwakilishi na Udiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Magomeni Zanzibar, wakipitia fomu za Uteuzi baada ya kukabidhiwa na Msimamizi Msaidizi  wa Uchaguzi Ndg. Khamis Juma Haji, akitowa maelezi ya ujazaji wa fomu hizo, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika katika Ofisi za Uchaguzi Wilaya ya Mjini Unguja Maisara Jijini Zanzibar leo 3-9-2025.na (kutoka kushoto) Mgombea Uwakilishi Jimbo la Magomeni Mhe.Mahfuodh Abdallah Mohammed na (kulia kwake) Mgombea Udiwani Wadi ya Magomeni Mhe.Husna Maulid Mwita na Mgombea Udiwani Wadi ya Sogea Mhe. Mohammed Said Mohammed.

MSIMAMIZI Msaidizi wa Uchaguzi Ndg.Khamis Juma Haji akimkabidhi fomu ya Uteuzi Mgombea Uwakilishi Jimbo la Magomeni kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Mahmoudh Abdallah Mohammed,hafla hiyo iliyofanyika katika Ofisi za Uchaguzi Wilaya ya Mjini Unguja Maisara Jijini Zanzibar leo 3-9-2025. 

MSIMAMIZI Msaidizi wa Uchaguzi Ndg.Khamis Juma Haji akimkabidhi fomu ya Uteuzi Mgombea wa Udiwani Wadi ya Sogea kwa tiketi ya Chana Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Mohammed Said Mohammed,hafla hiyo iliyofanyika katika Ofisi za Uchaguzi Wilaya ya Mjini Unguja Maisara Jijini Zanzibar leo 3-9-2025. 

MSIMAMIZI Msaidizi wa Uchaguzi Ndg.Khamis Juma Haji akimkabidhi fomu ya Uteuzi Mgombea wa Udiwani Wadi ya Magomeni kwa tiketi ya Chana Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Husna Maulid Mwita,hafla hiyo iliyofanyika katika Ofisi za Uchaguzi Wilaya ya Mjini Unguja Maisara Jijini Zanzibar leo 3-9-2025.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.