Habari za Punde

ZRB Pemba yakutana na wafanyabiashara wa vifaa vya ujenzi kisiwani Pemba

 MDHAMINI wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Tawi la Pemba, Said Ali Mohamed, akizungumza katika kikao cha wafanya biashara wa vifaa vya Ujenzi Kisiwani Pemba, huko katika ukumbi wa uwanja wa michezo Gombani Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA
 MENEJA wa Sera Utafiti na Mipango, kutoka bodi ya mapato Zanzibar (ZRB) Ahmed Haji Saadat, akifungua kikao cha wafanya biashara wa Vifaa vya Ujenzi Kisiwani Pemba, katika ukumbi wa KIwanja cha Michezo Gombani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 AFISA Elimu kwa walipa kodi kutoka ZRB, Khamis Shaali Chum, akiwasilisha mada ya Kodi na Umuhimu wake kwa wafanya biashara wa Vifaa vya ujenzi Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MKUU wa Kitengo cha Mahusiano kwa Umma Safia Is-hak Mzee, akiwasilisha mwongozo wa kutunza kumbukumbu kwa walipakodi, kwa wafanya biashara wa Vifaa vya Ujenzi Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MFANYABIASHARA wa Vifaa vya Ujenzi Kisiwani Pemba, Said Ahmed Nassor akiuliza swali kwa kuonyesha moja ya risiti za malipo ya VAT wakati wa Semina ya wafanyabiashara wa Vifaa vya Ujenzi Kisiwani Pemba na ZRB.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MWANDISHI wa Habari wa ITV kisiwani Pemba, akiuliza swali kwa Viongozi wa ZRB katika semina ya Wafanyabiashara wa vifaa vya Ujenzi Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.