Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar es
salaam leo Agosti 29, 2017. Kikao hicho pia kimehudhuriwa na Makamu wa Rais
Mhe. Samia Suluhu Hassan pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi. PICHA NA IKULU
MF NA EAC WAJADILI UKUSANYAJI MAPATO YA NDANI KWA AJILI YA MAENDELEO
-
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, akizungumza katika
mkutano uliotishwa na Shirika la Fedha la Kimataifa IMF na kuwakutanisha
Wadau...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment