MRATIBU wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi
la Pemba, Fatma Khamis Hemed, akielezea kazi na malengo ya kituo hicho, kabla
ya kuanza kwa mafunzo ya haki za binadamu kwa wafanayakazi wa vyama vya
wafanyakazi kisiwani Pemba, mafunzo hayo yalifanyika ofisi ya ZLSC mjini
Chakechake
KATIBU tawala
wilaya ya Micheweni kisiwani Pemba, Hassan
Abdalla Rashid, akifungua mafunzo ya siku mbili kwa wanachama wa vyama
vya wafanyakazi kisiwani kisiwani humo, mafunzo hayo yameandaliwa na Kituo cha
Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika ofisini kwao mjini
Chakechake
AFISA
Mipango wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanziba ZLSC tawi la Pemba, Siti Habib
Mohamed, akitoa mada ya sheria ya uajiri no 11 ya mwaka 2005, kwa wanachama na
viongozi wa vyama vya wafanyakazi kisiwani humo, mafunzo hayo yameandaliwa na
kufanyika ofisi ya ZLSC mjini Chakechake
WANACHAMA wa vyama mbali mbali vya wafanayazi
kisiwani Pemba, waliohudhuria mafunzo ya haki za binadamu, yalioandaliwa na
Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika ofisi ya
ZLSC mjini Chakechake.
WANACHAMA wa vyama mbali mbali vya wafanayazi
kisiwani Pemba, waliohudhuria mafunzo ya haki za binadamu, yalioandaliwa na
Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika ofisi ya
ZLSC mjini Chakechake, (Picha na Haji
Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment