Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi,Mwigulu Nchemba akizungumza wakati wa Ufunguzi wa Kikao cha 19
kinachoshirikisha Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Burundi na
Shirika la Kuhudumia Wakimbizi Duniani(UNHCR),lengo ni kujadili na kuwekeana
makubaliano juu ya Mpango wa Kuwarejesha Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa
katika makambi ya wakimbizi ambao wako tayari kurejea nchini kwao.Kikao hicho
kimefanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere,jijini Dar
es Salaam.
Waziri wa Mambo ya
Ndani na Elimu ya Uzalendo kutoka nchini Burundi,Pascal Barandagiye, akizungumza
wakati wa Ufunguzi wa Kikao cha 19 kinachoshirikisha Serikali ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania,Burundi na Shirika la Kuhudumia Wakimbizi
Duniani(UNHCR),lengo ni kujadili na kuwekeana makubaliano juu ya Mpango wa
Kuwarejesha Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa katika makambi ya wakimbizi
ambao wako tayari kurejea nchini kwao.Kikao hicho kimefanyika leo katika Ukumbi
wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere,jijini Dar es Salaam.
Mwakilishi wa Shirika
la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR)
nchini Tanzania,Chansa Kapaya, akizungumza wakati wa Ufunguzi wa Kikao cha 19
kinachoshirikisha Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Burundi na
Shirika la Kuhudumia Wakimbizi Duniani(UNHCR),lengo ni kujadili na kuwekeana
makubaliano juu ya Mpango wa Kuwarejesha Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa
katika makambi ya wakimbizi ambao wako tayari kurejea nchini kwao.Kikao hicho
kimefanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere,jijini Dar
es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mwigulu Nchemba, akipitia nyaraka mbalimbali wakati Kikao cha 19 kinachoshirikisha Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Burundi na Shirika la Kuhudumia Wakimbizi Duniani(UNHCR),lengo ni kujadili na kuwekeana makubaliano juu ya Mpango wa Kuwarejesha Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa katika makambi ya wakimbizi ambao wako tayari kurejea nchini kwao.Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Wakimbizi,Harrison mseke.Kikao hicho kimefanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere,jijini Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment