Habari za Punde

Kituo cha ZLSC Yatowa Elimu ya Sheria ya Haki za Binaadamu Kwa Watu Wenye Ulemavu Pemba.

MRATIBU wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed, akielezea namna ya kituo hicho, kinavyofanya tathmini ya mafunzo ya haki za binadamu, kwa watu wenye ulemavu kisiwani humo, mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa ZLSC mjini Chakechake
Baadhi ya Washiriki wa Mkutano wa Tathimini juu ya mafunzo yaliotolewa kwa Watu Wenye Ulemavu Kisiwani Pemba yaliotolewa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar , Tawi la Pemba mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Kituo cha ZLSC Chakechake.
 Baadhi ya Washiriki wa Mkutano wa Tathimini juu ya mafunzo yaliotolewa kwa Watu Wenye Ulemavu Kisiwani Pemba yaliotolewa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar , Tawi la Pemba mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Kituo cha ZLSC Chakechake.
KIONGOZI kutoka Umoja wa watu wenye Ulemavu ‘UWZ’ wilaya ya Mkoani Pemba, Malik Mohamed 0mar, akitoa mchango wake wa tathimini juu ya mafunzo ya haki za binadamu, waliowahi kupewa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na mkutano huo wa kufanyika mjini Chakechake
MWANACHAMA wa Umoja wa watu wenye Ulemavu ‘UWZ’ kutoka wilaya ya Wete, Katija Mbarouk Ali, akielezea changamoto, iliomo ndani ya jamii, kwenye mkutano wa tathimini wa mafunzo ya haki za binadamu, waliowahi kupewa kundi hilo na ZLSC, ambapo mkutani huo ulifanyikia mjini Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.