Habari za Punde

Mikarafuu 110 yachomwa moto na "watu wasiojulikana"


 MIKARAFUU isiyopungua 110 imechomwa moto na watu wasio julikana, katika kijiji cha Michikichini Shehia ya Chonga Wilaya ya Chake Chake Mkoa wa kusini Pemba, huku ikikisiwa kuwa na thamani ya shilingi Milioni 8.5. (PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 MIKARAFUU isiyopungua 110 imechomwa moto na watu wasio julikana, katika kijiji cha Michikichini Shehia ya Chonga Wilaya ya Chake Chake Mkoa wa kusini Pemba, huku ikikisiwa kuwa na thamani ya shilingi Milioni 8.5.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


MMOJA ya mikarafuu iliyochomwa moto na watu wasiojulikana katika kijiji cha Michikichini Shehia ya Chonga, ukiwa umeanguka baada ya kuteketea vibaya kwa moto huo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.