Wajumbe wa kamati Maalum iliyoundwa na Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakiendelea na majadiliano na timu kutoka kampuni ya Barrick Gold Corporation leo Septemba 7, 2017 kuhusu madai ya Tanzania juu ya upotevu wa fedha nyingi katika biashara ya madini ya dhahabu inayofanywa na kampuni hiyo hapa nchini. Majadiliano hayo yanafanyika jijini Dar es salaam
KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA YAENDELEA KUTOA ELIMU NA HUDUMA
BURE KWA WANANCHI WA HALMASHAURI YA MADABA
-
Madaba_Ruvuma.
Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia imeendelea kuisaidia jamii
isiyo na uwezo wa kugharamia huduma za mawakili kwa kuhakikisha wana...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment