Wanafunzi wa
skuli ya Maandalizi ya star, iliopo Kichungwani wilaya ya Chakechake kisiwani
Pemba, wakikaza meno kwenye mchezo wa kuvuta kamba, ikiwa ni sehemu ya shamra
shamra za siku ya wazazi, iliofanyika uwanja wa Tenis Chakechake
Mwalimu Mkuu
wa skuli ya Maandalizi ya star, iliopo Kichungwani, Chakechake Pemba, Moza
Said, akisoma hutuba ya kumkaribisha mgeni rasmi, ambae ni aliewahi kuwa Mkuu
wa wilaya ya Chakechake Hanuna Ibrahim Massoud, kwenye hafla ya siku ya wazazi,
iliofanyika uwanja wa Tenis Chakechake
Aliekuwa Mkuu
wa wilaya ya Chakechake Hanuna Ibrahim Massoud, akizungumza na wanafunzi,
waalimu, wazazi na walezi wenye watoto wao skuli ya Maandalizi ya Kichungwani
Chakechake, kwenye hafla ya sherehe ya siku ya wazazi, na kufanyika uwanja wa
Tenis.
(Picha na Haji Nassor, Pemba)
No comments:
Post a Comment