Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bi. Khadija Bakari Juma akitowa nasaha zake wakati hafla ya Mahafali ya Pili ya Wahitimu wa Mafunzo ya Walimu wa Ualimu wa Maandalizi Zanzibar yaliotolewa na Kituo cha Madrasa Childhood Early Programme Zanzibar mahafali hayo yamefanyika katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Zanzibar. ,
Rais Samia Suluhu Hassan afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali
Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpa
Futari mtoto Yatima Shuraiya Ramadhan (6) wa Kituo cha Watoto Yatima cha
Rahman k...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment