Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bi. Khadija Bakari Juma akitowa nasaha zake wakati hafla ya Mahafali ya Pili ya Wahitimu wa Mafunzo ya Walimu wa Ualimu wa Maandalizi Zanzibar yaliotolewa na Kituo cha Madrasa Childhood Early Programme Zanzibar mahafali hayo yamefanyika katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Zanzibar. ,
Meya Ahimiza Usafi Jijini Arusha
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, ametoa wito wa kuimarisha
ushirikiano kati ya Halmashauri na mawakala wa ukusanyaji wa ...
0 Comments