Habari za Punde

KAMISHNA SURURU ATANGAZA NEEMA

Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari M. Sururu akipokea salamu kutoka kwa Askari wa Jeshi la Uhamiaji Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati akiwasili Ofisi hapo kwa ziara ya kikazi Mkoani humo tarehe 20 - 21 Disemba, 2017. Kushoto ni Afisa Uhamiaji Mkoa wa Kaskazini Pemba, Naibu Kamishna wa Uhamiaji Asumsio Achacha.
 Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari Masoud Sururu.

Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji, Said M. Samaki akichangia hoja katika kikao cha pamoja na Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar na Wafanyakazi wote wa Mkoa wa Kaskazini Pemba.
 Tumbe ni mojawapo ya Bandari Bubu zilizopo ndani ya Wilaya ya Micheweni, Mkoa wa Kaskazini Pemba
Sheha wa Shehia ya Shumba Mjini, Bi. Rahma Mohamed Shaame (katikati) akimueleza Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari M. Sururu (kushoto kwake), kuhusu matumizi ya Bandari bubu Shumba Mjini inayotumiwa na wakaazi wengi wa Wilaya ya Micheweni kufanya safari zao za kibiashara kwenda Visiwa vya Mombasa Kenya.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.