Habari za Punde

Kikosi cha ya Taifa ya Zanzibar Heroes Kinachotarajiwa Kuingia Uwanjani Katika Mchezo wa Nusu Fainal na Timu ya Taifa ya Uganda Jioni leo Nchini Kenya.Dua Zenu.

Nusu fainali ya michuano ya CECAFA2017 kukamilika leo Uganda kukipiga na Zanzibar.

Mechi hii inatazamiwa kuwa kali kwani Uganda wanataka kwenda fainali ili wakatetee Ubingwa wao wakati Zanzibar Heroes wanataka kulipiza kisasi cha Novemba 24, 2015 pale walipofungwa 4-0 Uganda.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.