GARI inayotumiwa
na Ofisi ya Mufti kisiwani Pemba, yenye namba za usajili SMZ 148 A, ikiwa mbele
ya ofisi hiyo, tayari imeshatiwa mnyororo wenye bati, lililotengenezwa mithili
ya msumeno, na mtendaji anaedhaniwa kuwa ni wa Baraza la Mji Chakechake, ambapo
kwa sasa limekua gumzo ndani ya mji wa huo na hasa kwa wale ambao ofisi zao ziko
pembezoni mwa barabara, (Picha na Haji
Nassor, Pemba).
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment