GARI inayotumiwa
na Ofisi ya Mufti kisiwani Pemba, yenye namba za usajili SMZ 148 A, ikiwa mbele
ya ofisi hiyo, tayari imeshatiwa mnyororo wenye bati, lililotengenezwa mithili
ya msumeno, na mtendaji anaedhaniwa kuwa ni wa Baraza la Mji Chakechake, ambapo
kwa sasa limekua gumzo ndani ya mji wa huo na hasa kwa wale ambao ofisi zao ziko
pembezoni mwa barabara, (Picha na Haji
Nassor, Pemba).
TANZANIA NA ZAMBIA ZAKUBALIANA KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BIASHARA
-
Serikali za Tanzania na Zambia zimefanikiwa kufuta kero nne kati ya kero 15
zilizokuwepo awali ili kurahisisha michakato ya biashara ya nchi hizo
kutegemea...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment