Habari za Punde

Kongamano la Pili la Asasi za Kiraia Zanzibar

 MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akiangalia bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na  wajasiriamali wa Zanzibar, alipotembelea maonesho  wakati alipolifungua Kongamano la Pili la Asasi za Kiraia Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort iliopo Mazizini Unguja.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN
 MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akiangalia bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na  wajasiriamali wa Zanzibar, alipotembelea maonesho  wakati alipolifungua Kongamano la Pili la Asasi za Kiraia Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort iliopo Mazizini Unguja.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN

MWENYEKITI wa Kongamano la Pili la Asasi za Kiraia Zanzibar, Dk. Mzuri Issa akitoa maelezo ya Kongamano hilo la siku mbili  mbele ya Mgeni Rasmi ,Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd, kongamano hilo linafanyika katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).
 WASHIRIKI wa Kongamano la siku mbili la Asasi za Kiraia Zanzibar wakiwa katika Kongamano hilo katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort iliopo Mazizini Unguja.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).
 WASHIRIKI wa Kongamano la siku mbili la Asasi za Kiraia Zanzibar wakiwa katika Kongamano hilo katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort iliopo Mazizini Unguja.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).
KAIMU Waziri wa Fedha na Mipango, ambae pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Haroun Ali Suleiman , akizungumza katika kongamano la siku mbili la Asasi za Kiraia lililofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort iliopo Mazizini.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.