Mchezaji wa Timu ya Simba akijaribu kumpita beki wa Timu ya Mwenge wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1. usiku huu michuano hiyo inaendelea kwa kuzikutanisha Timu ya Yanga na Mlandege
ROMBO MPYA YA KUWEKEZA KWENYE ELIMU - DC MWANGALA
-
Na Mwandishi wetu, Rombo
MKUU wa wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Raymond Mwangala amewataka
wakazi wa eneo hilo kuwekeza kwenye elimu kwani mataifa meng...
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment