Habari za Punde

Upigaji dawa ya Malaria Wadi ya Chimba, Wilaya ya Micheweni


Mkuu wa wilaya ya Micheweni Salama Mbarouk Khatib (kulia), Kaimu afisa Mipango wilaya ya Micheweni  Hamad Othman, (wakwanza kushoto) na msimamizi wa Upigaji dawa wilayani humo, Khamis  wakihodisha Nyumbani kwa Diwani wa Wadi ya Chimba Wilayani humo ambae hakutaka kupigiwa Dawa ya Malaria zoezi linaloendelea Wilayani Humo.

 Kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Micheweni akijibizana na diwani ya wadi ya Chimba, Sidi Salehe Salim   ambae hakutaka nyumba yake kupigwa dawa ya malaria.
 Wapiga dawa majumbani wakizungumza na mkuu wa wilaya ya Micheweni Salama Mbarouk Khatib baada ya kumaliza zoezi la upigaji dawa katikashehia ya Chimba.

 Wapiga dawa majumbani wakizungumza na mkuu wa wilaya ya Micheweni Salama Mbarouk Khatib baada ya kumaliza zoezi la upigaji dawa katikashehia ya Chimba.

Picha na Bakar Mussa, Pemba

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.