SPIKA
wa Bunge la Vjana Zanzibar Juma Masoud akiingia katika ukumbi wa Bunge la
Vijana Zanzibar akiongozana na Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar
Mhe. Mgeni Hassan Juma, Mwenyekiti wa Bunge la Jumuiya yua Madola Tawi la
Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said, wakiingia katika Ukumbi wa mkutano
WAJUMBE
wa Bunge la Vijana Zanzibar wakiwa wamesimama wakati ukipigwa wimbo wa Taifa
kabla ya kuaza kwa Bunge hilo la Tano lililofanyika katika ukumbi wa Baraza la
Wawakilishi Chukwani Zanzibar
No comments:
Post a Comment