Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Mhe Balozi Amina Salum Ali akihutubia katika mkutano wa siku ya Wanawake Mabalozi, Wake wa Mabalozi Afrika kuhusu umuhimu wa Wanawake katika kujenga uchumi wa Viwanda. Mkutano huo umefanyika Park Hyatt hotel, Dar es Salaam
WAZIRI BASHUNGWA ATOA MIEZI MIWILI KWA CRB NA NCC KUUNDA MABARAZA YA
WAFANYAKAZI
-
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya
Ujenzi Balozi Mhandisi Aisha Amour anazisimamia Taasisi za Baraza la Taifa
la Ujen...
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment