Jumla ya Vijana 28 wamejitokeza katika mafunzo ya kujifunza kuchezesha mchezo wa mpira wa miguu Zanzibar wakiwa chini ya Mkufunzi Refarii Mstaaf wa Zanzibar Ramadhan Kibo, akiwanoa Vijana hao kuwa warithi wa fani hiyo Kisiwani Zanzibar.
Uzinduzi wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya Chama Cha
ADA-TADEA Viwanja vya Magirisi Wilaya ya Magharibi "B" Unguja
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha ADA -TADEA Mhe. Juma Ali Khatib
(kulia )akikabidhiwa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2025 ya Chama hicho,
wakati wa U...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment