Jumla ya Vijana 28 wamejitokeza katika mafunzo ya kujifunza kuchezesha mchezo wa mpira wa miguu Zanzibar wakiwa chini ya Mkufunzi Refarii Mstaaf wa Zanzibar Ramadhan Kibo, akiwanoa Vijana hao kuwa warithi wa fani hiyo Kisiwani Zanzibar.
Kampuni ya Haier yazindua bidhaa za viyoyozi (AC) jijini Dar es Salaam
-
Kampuni ya mabingwa wa vifaa vya kielektroniki Haier wamefanya mkutano wa
uzinduzi wa bidhaa za viyoyozi (AC) katika ukumbi wa Hyatt regency, the
kilimanja...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment