Jumla ya Vijana 28 wamejitokeza katika mafunzo ya kujifunza kuchezesha mchezo wa mpira wa miguu Zanzibar wakiwa chini ya Mkufunzi Refarii Mstaaf wa Zanzibar Ramadhan Kibo, akiwanoa Vijana hao kuwa warithi wa fani hiyo Kisiwani Zanzibar.
BOTRA Yafanya Mkutano Mkuu wa Mwaka, Yajadili Maisha ya Wastaafu na
Mustakabali wa Wanachama
-
*Dar es Salaam, Tanzania* – Chama cha Wastaafu wa Benki Kuu ya Tanzania
(BOTRA) kimefanya mkutano wake mkuu wa mwaka ukiwa na lengo la kujadili
maende...
17 minutes ago
No comments:
Post a Comment