Msanii Malima Ndolela akitumbuiza wakati wa
sherehe za kufunga Michezo ya kuwania kombe la IGP Sirro (Sirro Cup 2018
Kibiti) katika uwanja wa Samora Kibiti. Timu ya Migomba kutoka Rufiji
ililifanikiwa kutwaa ubingwa baada ya kuichapa Mjawa penati 12 kwa 11.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Injinia Evarest Ndikilo
akisalimiana na Wachezaji wa timu ya Migomba kutoka Rufiji kabla ya kuanza kwa
fainali ya kombe la IGP Sirro (Sirro Cup 2018 Kibiti) iliyoikutanisha timu hiyo
na Mjawa kutoka Kibiti katika uwanja wa Samora Kibiti. Migomba walifanikiwa
kutwaa ubingwa baada ya kuichapa Mjawa penati 12 kwa 11.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Injinia Evarest Ndikilo
akisalimiana na Wachezaji wa timu ya Mjawa kutoka Kibiti kabla ya kuanza kwa
fainali ya kombe la IGP Sirro (Sirro Cup 2018 Kibiti) iliyoikutanisha timu hiyo
na Migomba kutoka Rufiji katika uwanja wa Samora Kibiti. Migomba walifanikiwa
kutwaa ubingwa baada ya kuichapa Mjawa penati 12 kwa 11.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Mrakibu
Mwandamizi wa Polisi (SSP) Chatanda akimkabidhi seti jezi nahodha wa timu ya
Mjawa Bakari Tuga kutoka Kibiti baada ya kushika nafasi ya pili katika kombe la
IGP Sirro (Sirro Cup 2018 Kibiti) iliyoikutanisha timu hiyo na Migomba kutoka
Rufiji katika uwanja wa Samora Kibiti. Migomba walifanikiwa kutwaa ubingwa
baada ya kuichapa Mjawa penati 12 kwa 11
Mkuu
wa Mkoa wa Pwani Injinia Evarest Ndikilo akimkabidhi kombe la ushindi nahodha
wa timu ya Migomba Maulid Mtupa baada ya kuibuka mabingwa wa kombe la IGP Sirro
(Sirro Cup 2018 Kibiti) kwa kuichapa Mjawa
kwa penati 12 kwa 11 katika uwanja wa Samora Kibiti. (Picha na Jeshi la
Polisi).
No comments:
Post a Comment