Habari za Punde

Waziri Mwakyembe Atembelea Eneo la Urithi wa Ukombozi lilipo Jijini Mwanza

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akizungumza na msimamizi wa eneo lililotumiwa na Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kufanya vikao na wapigania uhuru wa Bara la Afrika wakati wa harakati za ukombozi wa Bara la Afrika alipotembelea eneo hilo lililopo Jijini Mwanza mapema wiki hii. 
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akiangalia mti ujulikanao kwa jina la Mkuyu uliooteshwa kipindi cha harakati za ukombozi wa Bara la Afrika katika eneo ambalo Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alilitumia kufanya vikao na wapigania uhuru wa Bara la Afrika wakati wa harakati za ukombozi wa Bara la Afrika alipotembelea eneo hilo lililopo Jijini Mwanza mapema wiki hii.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akizungumza na wasimamizi wa eneo ambalo Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alilitumia kufanya vikao na wapigania uhuru wa Bara la Afrika wakati wa harakati za ukombozi wa Bara la Afrika alipotembelea eneo hilo lililopo Jijini Mwanza mapema wiki hii. Kulia ni Katibu Tawala Wilaya ya Nyamagana Bw. Yohana Jonas

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (watatu kushoto) katika picha ya pamoja na ujumbe kutoka Jiji la Mwanza na wasimamiaji wa  eneo ambalo Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alilitumia kufanya vikao na wapigania uhuru wa Bara la Afrika wakati wa harakati za ukombozi wa Bara la Afrika alipotembelea eneo hilo lililopo Jijini Mwanza mapema wiki hii.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.