Taarifa ya kuandama kwa mwezi umeonekana katika maeneo ya
Fundo Pemba, Rufiji na Morogoro. Mwenyeenzi Mungu azikubali Saumu zetu, dua zetu na maombi yetu. Pia atusamehe makosa yetu na kutujaalia mapenzi na maelewano baina yetu, awape afya njema na tahfif wagonjwa na wenye shida mbali mbali. Ameen Thumma ameen.
No comments:
Post a Comment