Kuna Baadhi ya watumiaji wa barabara za ndani katika mji mkongwe wa Zanzibar hutumia barabara hizo kinyume na maelekezo ya utumiaji huo, zinavyoonesha kama barabara hii kutoka vuga inaruhusu gari kuingia mji mkongwe kwa upande wa vuga na kutokea matika barabara ya forodhani hadi malindi. Kama inavyoonekana baadhi ya madereva hukiuka na kusababisha msongamano wa magari kutokana na kutaka kutumia njia hiyo kinyume na sheria iliowekwa na Mamlaka ya hifadhi ya mji mkongwe Zanzibar.
KAPINGA: TAASISI ZIFANYE TAFITI BUNIFU ILI KUONGEZA AJIRA KWA VIJANA
-
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga (Mb), amezisisitiza
taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kufanya tafiti zenye tija ili kuongeza
ajira kwa ...
12 hours ago

No comments:
Post a Comment