Kuna Baadhi ya watumiaji wa barabara za ndani katika mji mkongwe wa Zanzibar hutumia barabara hizo kinyume na maelekezo ya utumiaji huo, zinavyoonesha kama barabara hii kutoka vuga inaruhusu gari kuingia mji mkongwe kwa upande wa vuga na kutokea matika barabara ya forodhani hadi malindi. Kama inavyoonekana baadhi ya madereva hukiuka na kusababisha msongamano wa magari kutokana na kutaka kutumia njia hiyo kinyume na sheria iliowekwa na Mamlaka ya hifadhi ya mji mkongwe Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi
Amezindua Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji Ukumbi wa Verde
Mtoni Zanzibar
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Taasisi,
alipowasili k...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment