Kuna Baadhi ya watumiaji wa barabara za ndani katika mji mkongwe wa Zanzibar hutumia barabara hizo kinyume na maelekezo ya utumiaji huo, zinavyoonesha kama barabara hii kutoka vuga inaruhusu gari kuingia mji mkongwe kwa upande wa vuga na kutokea matika barabara ya forodhani hadi malindi. Kama inavyoonekana baadhi ya madereva hukiuka na kusababisha msongamano wa magari kutokana na kutaka kutumia njia hiyo kinyume na sheria iliowekwa na Mamlaka ya hifadhi ya mji mkongwe Zanzibar.
TUGHE yapongeza kiwango cha utendaji kazi cha PURA kwa mwaka 2024/25
-
Naibu Katibu Mkuu TUGHE Taifa, Ndg. Amani Msuya ameeleza kuvutiwa na
kiwango cha utendaji kazi wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli
(PURA) kwa m...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment