Kuna Baadhi ya watumiaji wa barabara za ndani katika mji mkongwe wa Zanzibar hutumia barabara hizo kinyume na maelekezo ya utumiaji huo, zinavyoonesha kama barabara hii kutoka vuga inaruhusu gari kuingia mji mkongwe kwa upande wa vuga na kutokea matika barabara ya forodhani hadi malindi. Kama inavyoonekana baadhi ya madereva hukiuka na kusababisha msongamano wa magari kutokana na kutaka kutumia njia hiyo kinyume na sheria iliowekwa na Mamlaka ya hifadhi ya mji mkongwe Zanzibar.
UDOM Yabuni Mashine ya Kisasa ya Kuuza Vinywaji Baridi Inayojiendesha
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kupitia Ndaki ya Sayansi za Kompyuta na Elimu
Angavu, kimebuni mashine ya kisasa ya kuuza ...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment