Habari za Punde

Waziri wa Elimu azungumza na Walimu Wakuu wa skuli za serikali na binafsi kisiwani Pemba

 WAZIRI wa Elimu na mafunzo ya Amali Zanzibar Riziki Pembe Juma  akizungumza na walimu wakuu wa skuli za Serikali na Binafsi Kisiwani Pemba,katika ukumbi wa skuli ya Sekondari ya Fidelkastro. (PICHA NA HABIBA ZARALI)


WALIMU wakuu wa skuli za Serikali na za binafsi Kisiwani Pemba wakiwa katika Mkutano na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Riziki Pembe Juma uliofanyika katika skuli ya sekondari ya Fidelkastro. (PICHA NA HABIBA ZARALI)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.