Waziri wa Nchi Ofisi ya
Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba akizungumza na wakazi
waishio pembezoni mwa ziwa Kitangiri Wilayani Igunga. Waziri Makamba amewaasa
wakazi hao kuwa chachu katika kuhifadhi mazingira ya ziwa hilo kwa manufaa ya
sasa na baadae.
Waziri wa Nchi Ofisi ya
Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba akizungumza na wakazi
waishio pembezoni mwa ziwa Kitangiri Wilayani Igunga. Waziri Makamba amewaasa
wakazi hao kuwa chachu katika kuhifadhi mazingira ya ziwa hilo kwa manufaa ya
sasa na baadae.
Wakazi wa mwalo wa
Shauri-Tanga katika Ziwa Kitangiri Wilayani Iramba, wakizungumza na Waziri wa
Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba juu ya
namna wanavyotumia ziwa hilo kwa shughuli za uvuvi.
Bwawa la Urughu lilipo
Wilayani Singida liko hatarini kutoweka kutokana na matumizi yasiyoendelevu ya
shughuli za kibinadamu yanayopelekea kujaa mchanga na kupungua kwa kina cha maji. Waziri Makamba
ameazimia kutangaza bwawa hilo kama eneo lindwa kimazingira ili kuweka ulinzi
na matumizi endelevu.
No comments:
Post a Comment