Mwakilishi wa Jimbo la Makunduzi Zanzibar Mkoa wa Kusini Unguja pia Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman akiwa na mgeni wake Waziri wa Nchi Ofisi yua Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Tanzania Mhe. January Yussuf Makamba wakielekea katika Msikiti kwa ajili ya kusoma hitma na kuwaombea Dua Wazee wa Kizimkazi waliokwisha kufika mbele ya haki.
MSIZIFANYIE ‘’LAMINATION’’ HATI MILKI ZA ARDHI-MHANDISI SANGA
-
Na *Munir Shemweta, CHALINZE*
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi
Anthony Sanga amesema Hati miliki za Ardhi zinazotole...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment