Mwakilishi wa Jimbo la Makunduzi Zanzibar Mkoa wa Kusini Unguja pia Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman akiwa na mgeni wake Waziri wa Nchi Ofisi yua Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Tanzania Mhe. January Yussuf Makamba wakielekea katika Msikiti kwa ajili ya kusoma hitma na kuwaombea Dua Wazee wa Kizimkazi waliokwisha kufika mbele ya haki.
“Wanawake wapewe fursa ya kushiriki michezo kwa maendeleo”- Wadau.
-
Mtaalam wa masuala ya kijinsia na mwandishi wa habari mkongwe nchini, Bi
Hawra Shamte. akizungumza katika mafunzo ya Waandishi wa Habari
yaliyoandaliwa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment