Mwakilishi wa Jimbo la Makunduzi Zanzibar Mkoa wa Kusini Unguja pia Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman akiwa na mgeni wake Waziri wa Nchi Ofisi yua Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Tanzania Mhe. January Yussuf Makamba wakielekea katika Msikiti kwa ajili ya kusoma hitma na kuwaombea Dua Wazee wa Kizimkazi waliokwisha kufika mbele ya haki.
RAIS MWINYI: TUIOMBEE NCHI AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
-
Mgombea wa kiti cha Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),
ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.
Hussein ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment