Habari za Punde

Mbunge na Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said (Mpaka Basi ) Mhe. Khalif Salum Suleiman (Mimina) Wachangia Mradi wa Vijana wa Dunga Wilaya ya Kati Unguja Mradi wao Ukusanyaji wa Maziwa ya Ngombe Kwa Wafunguja na Kusambaza Kiwanda Cha Maziwa.

Mbunge wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Khalifa Salum Suleiman, akimkabidhi fedha shilingi Milioni mbili na laki Tano Mkurugenzi wa Taasisi ya Baraza la Vijana Dungu,Ndg. Phidelis Daniel Phidelis kwa ajili ya Mradi wao wa Kukusanya Maziwa ya Ngombe kwa Wakulima kwa ajili ya kusambaza katika Kiwanda cha Maziwa cha Bakhressa, katikati Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said, fedha hizo zimetolea na Waheshimiwa hao ili kukamilisha ufungaji wa Umeme katika eneo la kuhifadhia maziwa hayo baada ya kuyakusanya kwa Wakulima.









No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.