Mbunge wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Khalifa Salum Suleiman, akimkabidhi fedha shilingi Milioni mbili na laki Tano Mkurugenzi wa Taasisi ya Baraza la Vijana Dungu,Ndg.
Phidelis Daniel Phidelis kwa ajili ya Mradi wao wa Kukusanya Maziwa ya Ngombe kwa Wakulima kwa ajili ya kusambaza katika Kiwanda cha Maziwa cha Bakhressa, katikati Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said, fedha hizo zimetolea na Waheshimiwa hao ili kukamilisha ufungaji wa Umeme katika eneo la kuhifadhia maziwa hayo baada ya kuyakusanya kwa Wakulima.
DKT POSSI AHIMIZA UWAJIBIKAJI BARAZA LA WAFANYAKAZI LA TCAA
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Ali Possi akiwasilisha hotuba
ya ufunguzi wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la TCAA linalofanyika
Morogoro
...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment