Mbunge wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Khalifa Salum Suleiman, akimkabidhi fedha shilingi Milioni mbili na laki Tano Mkurugenzi wa Taasisi ya Baraza la Vijana Dungu,Ndg.
Phidelis Daniel Phidelis kwa ajili ya Mradi wao wa Kukusanya Maziwa ya Ngombe kwa Wakulima kwa ajili ya kusambaza katika Kiwanda cha Maziwa cha Bakhressa, katikati Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said, fedha hizo zimetolea na Waheshimiwa hao ili kukamilisha ufungaji wa Umeme katika eneo la kuhifadhia maziwa hayo baada ya kuyakusanya kwa Wakulima.
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment