Mbunge wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Khalifa Salum Suleiman, akimkabidhi fedha shilingi Milioni mbili na laki Tano Mkurugenzi wa Taasisi ya Baraza la Vijana Dungu,Ndg.
Phidelis Daniel Phidelis kwa ajili ya Mradi wao wa Kukusanya Maziwa ya Ngombe kwa Wakulima kwa ajili ya kusambaza katika Kiwanda cha Maziwa cha Bakhressa, katikati Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said, fedha hizo zimetolea na Waheshimiwa hao ili kukamilisha ufungaji wa Umeme katika eneo la kuhifadhia maziwa hayo baada ya kuyakusanya kwa Wakulima.
NGUMI NUSU FAINAL KLABU BINGWA TAIFA NI PATA SHIKA, NGUO KUCHANIKA
-
▫️Nusu fainali ya kwanza kufanyika usiku wa leo kwa mapambano 14
▫️Magereza warudi kwa kishindo msimu huu
18-09-2025, Tanga.
MASHINDANO ya ngumi Klabu Bin...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment