Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Mhe. Abdallah Ulega, akishiriki katika ujenzi wa jengo la Hospitali ya Wilaya Muheza Mkoani Tanga, wakati wa hafla ya ufungaji wa Kambi hiyo iliochukua siku 14 Kwa Vijana wa UVCCM kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa hospitali hiyo ya Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Tanzania Mhe. Abdallah Ulega, akiweka tofali wakati wa hafla ya ufungaji wa Kambi ya Vijana wa UVCCM wakati wa ujenzi wa jengo la Hospitali ya Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga.
No comments:
Post a Comment