Habari za Punde

Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Aweka Jiwe la Msingi la Kiwanda Cha Chokaa Cha Neelkanth Chemicals Limited Cha Jijini Tanga.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiweka jiwe la msingi la kiwanda cha  chokaa cha Neelkanth Chemical Limited  kilichopo  jijini Tanga, Oktoba 30, 2018. Wapili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martine Shigela, watatu kushoto ni mmiliki wa kiwanda hicho, Rashidi Liemba na kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Tanga, Henry Shekifu.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.