Muonekano wa Marikiti Kuu Darajani wakati wa Usiku leo kama inavyoonekana picha wakati huu wananchi wakiwa katika harakati za kujipatia mahitaji yao kwa matumizi ya nyumbani. Wananchi wa Mji wa Zanzibar hufika katika marikiti hii kupata majitaji yao wakati wa Soko la Jioni.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment