Habari za Punde

Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano Atembelea Chumba Cha Baharini Pemba Akiendelea na Ziara Yake.

NAIBU waziri wa Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Atashasta Nditiye wakanza kulia akiwa katika boti akielekea katika Chumba cha Chini ya bahari huko makangale wakati wa ziara yake Kisiwani Pemba pamoja na wajumbe wake aliofuatana nao
NAIBU waziri wa Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Atashasta Nditiye wakanza kulia akiwa katika boti akielekea katika Chumba cha Chini ya bahari huko makangale wakati wa ziara yake Kisiwani Pemba pamoja na wajumbe wake aliofuatana nao
CHUMBA cha chini ya bahari kikiwa kinaelea katika bahari ya Makangale Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba
NAIBU waziri wa Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Atashastar Nditiye, akiteremka katika boti mara baada ya kuangalia chumba cha Chini ya bahari huko Makangale
MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Kaskazini Pemba Maida Hamad Bakari, akiutambulisha ugenzi wa Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Atashasta Nditiye, wakati ulipofika katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba kwa lengo la kujitambulisha kwao
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Omar Khamis Othman, akizungumza katika kikao na watendaji kutoka Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ulipofika katika ofisi yake kujitambulisha ukiongozwa na Naibu waziri wa Wizara hiyo Atashasta Nditiye

NAIBU waziri wa Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Atashastar Nditiye, akizungumza katika kikao cha Pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba juu ya lengo la ziara hiyo kuangalia maeneo ambayo usikivu wa mawasiliano ni hafifu.
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.