MKURUGENZI wa Baraza
la Mji Chake Chake Salama Abuu Hamad akimkabidhi Mwalimu Mkuu wa Skuli ya
Msingi Pembeni Hamim Khamis Kazuba mabuku kwa niaba ya walimu wakuu wa Skuli
zote za msingi na maandalizi za Wilaya hiyo,katikati ni Ofisa wa elimu Wilaya
ya Chake Chake Abdalla Omar Muya
MKURUGENZI wa Baraza la Mji Chake Chake Salama Abuu Hamad
akimkabidhi mabuku Msaidizi Mwalimu Mkuu Skuli ya Msingi Mgelema Fatma Khamis
Kali kwa niaba ya walimu wakuu wa Skuli zote za msingi na maandalizi za Wilaya
hiyo,katikati ni Ofisa wa elimu Wilaya ya Chake Chake Abdalla Omar Muya.
.(Picha na Said Abdulrahman - Pemba)
No comments:
Post a Comment