Matayarisho ya Ujenzi wa Mabanda ya Maonesho ya Siku ya Sheria Duniani yatakayofanyika katika viwanja vya nje Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba, Yatakayoshirikisha Taasisi mbalimbali za Serikali, Mashirika ya Umma na Binafsi yanayotarajiwa kuaza kesho kwa ufunguzi wake kufunguliwa na Waziri wa Sheria Katiba na Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman, hapo kesho.
Tuzo : NCAA Yajivunia Tuzo ya Kimataifa
-
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Bw.
Abdul-Razaq Badru kupitia mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika jijini
Ar...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment