Matayarisho ya Ujenzi wa Mabanda ya Maonesho ya Siku ya Sheria Duniani yatakayofanyika katika viwanja vya nje Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba, Yatakayoshirikisha Taasisi mbalimbali za Serikali, Mashirika ya Umma na Binafsi yanayotarajiwa kuaza kesho kwa ufunguzi wake kufunguliwa na Waziri wa Sheria Katiba na Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman, hapo kesho.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment