Matayarisho ya Ujenzi wa Mabanda ya Maonesho ya Siku ya Sheria Duniani yatakayofanyika katika viwanja vya nje Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba, Yatakayoshirikisha Taasisi mbalimbali za Serikali, Mashirika ya Umma na Binafsi yanayotarajiwa kuaza kesho kwa ufunguzi wake kufunguliwa na Waziri wa Sheria Katiba na Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman, hapo kesho.
Makamu wa Pili wa Rais Z'bar Atoa Wito wa Kuulinda Muungano
-
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla ametoa wito kwa
wananchi wa Tanzania kuendelea kuulinda Muungano.
Hayo ameyasem...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment