Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la
Mawaziri kilichofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein mara baada
ya kutoka kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akizungumza na
wanahabari mara baada ya kutoka kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri
kilichofanyika Ikulu
jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wanahabari mara
baada ya kutoka kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Kulia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed
Shein.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein mara baada
ya kuzungumza na wanahabari Ikulu jijini Dar es Salaam.
Picha na Ikulu
No comments:
Post a Comment