Habari za Punde

Shamrashamra za Kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar Miradi Mbalimbali Imezinduliwa Ikiwemo Nyumba za Askari wa KMKM Kisiwani Pemba Mkoani.

MOJA ya mahanga ya askari wa KM KM kituo cha Makombeni Wilaya ya Mkoani, yaliyowekewa jiwe la msingi la Wawizi wa Fedha na Mipango DR Khalid Salum Mohamed, ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar
WAZIRI wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dr Khalid Salum Mohamed, akisalimiana na Afisa Mdhamini Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara maalumu za SMZ, Juma Nyasa Juma mara baada ya kuwasili makombeni katika uwekaji wajiwe la msingi hanga la askari wa KM KM ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar
WAZIRI wa Fedha na Mipango Zanzibar Dr Khalid Salum Mohamed, akikunjuwa kitambaa kuashiria uwekeaji wa jiwe la msingi mahanga ya askari wa KM KM kituo cha Makombeni Wilaya ya Mkoani, ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar
WAZIRI wa fedha na Mipango Zanzibar Dr Khalid Salum Mohamed, akikagua baadhi ya majengo ya mahanga ya askari wa KMKM kituo Makombeni Wilaya ya Mkoani, ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar
VIONGOZI mbali mbali wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakifuatilia kwa makini taarifa ya kitaalamu ya ujenzi wa mahanga hayo ya KM KM Kituo cha Makombeni Wilaya ya Mkoani ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla, akizungumza na wananchi wa Makombeni Wilaya ya Mkoani mara baada ya kuwekewa mawe ya Msingi Mahanga ya askari wa KM KM, ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
NAIBU waziri wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mita na Idara maaluza SMZ Shaamata Shaame Khamis, akizungumza katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi mahanga ya askari wa KM KM Makombeni Wilaya ya Chake Chake, ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
WAZIRI wa Fedha na Mipango Zanzibar Dr Khalid Salum Mohamed, akizungumza na wananchi wa Makombeni Wilaya ya Mkoani, mara baada ya kuweka jiwe la Msingi mahanga ya KM KM Makombeni, ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
VIONGOZI mbali mbali wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiongozwa na Waziri wa Fedha na Mipango Dr Khalid Salum Mohamed, wakiwa katika picha ya pamoja na askari wa KM KM mara baada ya kuweka jiwe la msingi mahanga KM KM Kituo cha Mkombeni, ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.