Habari za Punde

TANGA UWASA WATAKIWA KULILINDA BWAWA LA MAJI LA MABAYANI

Waziri wa Maji Proffesa Makame Mbarawa kushoto akizungumza wakati alipofanya ziara yake wilaya ya Tanga kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga (RAS) Mhandisi Zena Saidi.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga (RAS) Mhandisi Zena Saidi k,ushoto anayemsikiliza kwa umakini  ni Waziri wa Maji Proffesa Makame Mbarawa
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi  Geofrey Hilly  akisistiza jambo wakati wa ziara hiyo
Afisa Raslimali watu wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Haika Ndalama akizungumza wakati wa ziara hiyo
Waziri wa Maji Proffesa Makame Mbarawa katika akitazama mitambo ya uzalishaji wa maji  Moye Jijini Tanga kushoto ni nMkurugenzi wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi  Geofrey Hilly  kulia ni Msimamizi wa shughuli za  Uzalishaji Maji katika kituo cha kuzalishia Maji  Mabayani Faraji Nyoni  <!--[if gte mso 9]> Normal 0 false false false EN-US X-NONE

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.