Habari za Punde

Maadhimisho ya siku ya Afya ya Kinywa na Meno Duniani kufanyika kesho

 Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohamed akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) kuelekea maadhimisho ya siku ya Afya ya Kinywa na Meno Duniani yatayofanyika kesho tarehe 20/03/19 Mapinduzi Square Michenzani Mjini Unguja.
 Baadhi ya wandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakifuatilia Mkutano wa Waziri wa Afya alipokutana nao kuzungumzia maadhimisho ya siku ya Afya ya Kinywa na Meno Duniani yatayofanyika Mapinduzi Square Michenzani.
 Daktari bingwa wa meno Zanzibar Iddi Sleiman Iddi akijibu baadhi ya maswali yalioulizwa na wandishi wa habari katika kuelekea madhimisho ya Afya ya Kinywa na Meno Duniani.
Mkuu wa Madaktari wakujitolea kutoka Chuo Kikuu cha Belgrade Prof. Ana Pucar akielezea juu ya umuhimu wa kutoa elimu ya Afya ya kinywa na meno kwa watoto walio shuleni katika Mkutano wa Waziri wa Afya uliofanyika Ofisini kwake Mnazimmoja Mjini Zanzibar.

Picha na Makame Mshenga.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.