Habari za Punde

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Magufuli Atoa Mkono wa Pole Kwa Mbunge wa Iringa Mjini Magharibi Mchungaji Peter Msingwa Aliyefiwa na Dada Yake Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisaini Kitabu cha Maombolezo mara baada ya kuwasili Kimara kwa ajili ya kutoa heshma za Mwisho kwa mwili wa marehemu Tryphosa Simon Sanga ambaye ni Dada wa Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa aliyefariki juzi jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za mwisho katika jeneza la marehemu Tryphosa Simon Sanga ambaye ni Dada wa Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa aliyefariki juzi jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa Msibani pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufuli wakwanza kulia, Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa wakwanza kushoto aliyekaa pamoja na ndugu zake kufatia kifo cha Dada yake marehemu Tryphosa Simon Sanga kilichotokea juzi jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili Kimara msibani huku akizungumza jambo na Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa ambaye alifiwa na Dada yake marehemu Tryphosa Simon Sanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema wakati akitoka kutoa heshma za mwisho kwenye msiba  wa marehemu Tryphosa Simon Sanga ambaye ni Dada wa Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa aliyefariki juzi jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka eneo la msibani Kimara mara baada ya kutoa heshma za mwisho kufatia kifo cha wa marehemu Tryphosa Simon Sanga ambaye ni Dada wa Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa aliyefariki juzi jijini Dar es Salaam. 
PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.