Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisaini Kitabu cha Maombolezo mara baada
ya kuwasili Kimara kwa ajili ya kutoa heshma za Mwisho kwa mwili wa marehemu Tryphosa
Simon Sanga ambaye ni Dada wa Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa aliyefariki
juzi jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa
heshma za mwisho katika jeneza la marehemu Tryphosa Simon Sanga ambaye ni Dada
wa Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa aliyefariki juzi jijini Dar es
Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
Msibani pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufuli wakwanza kulia, Mbunge wa Iringa
Mjini Mchungaji Peter Msigwa wakwanza kushoto aliyekaa pamoja na ndugu zake
kufatia kifo cha Dada yake marehemu Tryphosa Simon Sanga kilichotokea juzi
jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili Kimara msibani huku akizungumza
jambo na Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa ambaye alifiwa na Dada
yake marehemu Tryphosa Simon Sanga.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza jambo na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema wakati akitoka kutoa
heshma za mwisho kwenye msiba wa marehemu
Tryphosa Simon Sanga ambaye ni Dada wa Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter
Msigwa aliyefariki juzi jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiondoka eneo la msibani Kimara mara baada ya kutoa heshma za mwisho kufatia
kifo cha wa marehemu Tryphosa Simon Sanga ambaye ni Dada wa Mbunge wa Iringa
Mjini Mchungaji Peter Msigwa aliyefariki juzi jijini Dar es Salaam.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment