Habari za Punde

ZECO waweka transfoma mpya Michakaeni

MAFUNDI wa shirika la umeme Zanzibar Tawi la Pemba, (ZECO), wakikaza baadhi ya misumari mara baada ya kuwekwa kwa Tansfoma mpya katika eneo la TTCL Michakaeni kama walivyokutwa na kamera ya Zanzibarleo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.