Habari za Punde

Benki ya NMB Tawi la Kisiwani Pemba Lafutarisha Wateja Wake na Wananchi.

 WAFANYAKAZI  wa Bank ya NMB Kisiwani Pemba, wananchi na wateja wao wakiwa katika sala ya pamoja, iliyofanyika Chake Chake kuelekea kwenye futari maalumu iliyoandaliwa na Banke ya NMB kwa wateja wake
AFISA Mdhamini Wizara ya Fedha na Mipango Ibrahim Saleh Juma (katikati) akipata uji wakati wa futari maalumu iliyoandaliwa na bank ya NMB kwa wateja wake, kulia ni meneja wa benk hiyo kanda ya Dar es Salam na Zanzibar Badru Iddi na kushoto ni Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Shekh Mahmoud Mussa Wadi, futari hiyo imefanyika Chake Chake Pemba
MENEJA wa Bank ya NMB kanda ya Dar es Salam na Zanzibar Badru Iddi, akichukua futari maalumu iliyoandaliwa na benk hiyo kwa wateja wake Kisiwani Pemba na kufanyika mjini Chake Chake
BAADHI ya wateja wa Bank ya NMB na wananchi wa Kisiwa cha Pemba, wakichukua futari maalumu iliyoandaliwa na Bank hiyo kwa wateja wake na kufanyika mjini Chake Chake'
AFISA Mdhamini Wizara ya Fedha na Mipango Ibrahim Saleh Juma (katikati) akipata uji wakati wa futari maalumu iliyoandaliwa na bank ya NMB kwa wateja wake, kulia ni meneja wa benk hiyo kanda ya Dar es Salam na Zanzibar Badru Iddi na kushoto ni Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Shekh Mahmoud Mussa Wadi, futari hiyo imefanyika Chake Chake Pemba
VIONGOZI wa kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Kusini Pemba, wakiongoza na Kamanda wa Polisi Mkoa huo Hassan Nassir Ali wa pili kutoka kulia, akifuatiwa na Kamanda wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania 14KJ Khamis, wakipata futari maalumu iliyoandaliwa na Bank ya NMB kwa wateja wao na kufanyika Mjini Chake Chake
BAADHI ya wafanyakazi wa NMB, wateja wao na wananchi wa Kisiwa cha Pemba, wakichukuwa futari maalumu iliyoandaliwa na benk hiyo kwa wateja wao Kisiwani hapa
BAADHI ya wateja wa Banki ya NMB na wananchi akipata futari maalumu, iliyoandaliwa na benk hiyo kwa wateja wao na kufanyika mjini Chake Chake
MENEJA wa Bank ya NMB Kisiwani Pemba Ahmed Nassor, akitoa shukurani kwa wananchi na wateja wao waliohudhuria futari maalumu, iliyoandaliwa na Bank hiyo kwa wateja wao na kufanyika mjini Chake Chake
MENEJA wa NMB kanda ya Dar es Salam na Zanzibar Badru Iddi, akizungumzia juu ya mikakati ya NMB kwa wateja wake mara baada ya kumalizika kwa futari Maalumu iliyoandaliwa na benk hiyo na kufanyika mjini Chake Chake.
AFISA mdhamini Wizara ya Fedha na Mipango Pemba Ibrahim Saleh Juma, akizungumza na wananchi na wateja wa NMB kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, mara baada ya kumalizika kwa futari maalumu iliyoandaliw ana bank hiyo kwa wateja wao na kufanyka mjni Chake Chake.
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.