Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mwakilishi wa UNICEF Nchini Tanzania Bi. Maniza Zamani, alipowasili katika ukumbi wa mkutano Ikulu Zanzibar leo.kushoto Mwakilishi wa UNICEF anayefanyika Kazi zake Nchini Zanzibar Bi. Maha Damaj
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiwa katika mazungumzo na Mwakilishi wa UNICEF Nchini Tanzania Bi. Maniza Zamani, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa Kazi Nchini Tanzania akiwa na Mwakilishi wa UNICEF anayefanyia Kazi zake Nchini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Mwakilishi wa UNICEF Nchini Tanzania Bi. Maniza Zamani alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kumuaga leo.
No comments:
Post a Comment