Daraja la barabara ya kibonde mzungu likiwa katika hatua za mwisho ya ujenzi huo baada ya kukamilika kwa kiasi kikubwa na kwa sasa ikiwa katika hatua za kuweka vidaraja vya ukindo wa barabara hiyo na kuaza kutumika kwa magari yanayoelekea katika Mkoa wa Kusini Ungyuja na kupita bila tabu, kama linavyoonekana pichani hali halisi ya daraja hilo. Siku za nyuma kipindi cha mvua za masika eneo hili hujaa maji na kuleta maafa na kukosa kupitika kutokana na kujaa maji hadi juu ya barabara hiyo ilioyopita katika daraja hilo.
Uchaguzi : Mwenyekiti wa INEC Alivyokabidhi Hati kwa Rais na Makamu wa Rais
Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
-
[image: Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs
Mwambegele amekabidhi Hati kwa Rais Mteule na Makamu wa Rais Mteule wa
Jamhuri ya Muun...
16 hours ago

No comments:
Post a Comment