Daraja la barabara ya kibonde mzungu likiwa katika hatua za mwisho ya ujenzi huo baada ya kukamilika kwa kiasi kikubwa na kwa sasa ikiwa katika hatua za kuweka vidaraja vya ukindo wa barabara hiyo na kuaza kutumika kwa magari yanayoelekea katika Mkoa wa Kusini Ungyuja na kupita bila tabu, kama linavyoonekana pichani hali halisi ya daraja hilo. Siku za nyuma kipindi cha mvua za masika eneo hili hujaa maji na kuleta maafa na kukosa kupitika kutokana na kujaa maji hadi juu ya barabara hiyo ilioyopita katika daraja hilo.
DKT. MWIGULU AFUNGUA SKULI YA CHUKWANI, ZANZIBAR
-
_Ampongeza Dkt. Mwinyi kwa uwekezaji katika sekta ya Elimu._
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 05, 2026 amefungua Skuli ya
Sekondari Chukwani...
51 minutes ago
0 Comments