Afisa wa Mawasiliano wa Benki ya Diamond Trust Bank Tanzania Selevester Bahati akizungumza wakati wa hafla ya Futari iliofanyika katika viwanja vya Bustani ya Ngome Kongwe iliofanyika jana Jijini Zanzibar, na kuwajumuisha Wateja wao wa Tawi la Zanzibar na Wananchi mbalimbali. Mgeni Rasmin Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed.
MVUTANO VYAMA VYA WAFANYAKAZI KIKWAZO VIKAO BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA
ARDHI
-
*Na Mwandishi wetu- Morogoro*
Vikao vya baraza la Wafanyakazi vya Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeelo ya
Makazi havikufanyika kwa wakati kama ilivyp...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment