Afisa wa Mawasiliano wa Benki ya Diamond Trust Bank Tanzania Selevester Bahati akizungumza wakati wa hafla ya Futari iliofanyika katika viwanja vya Bustani ya Ngome Kongwe iliofanyika jana Jijini Zanzibar, na kuwajumuisha Wateja wao wa Tawi la Zanzibar na Wananchi mbalimbali. Mgeni Rasmin Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed.
Siasa : Dkt. Mwinyi - CCM ni Mhimili wa Amani na Maendeleo
-
[image: WhatsApp%20Image%202025-09-18%20at%208.47.18%20AM]
[image: WhatsApp%20Image%202025-09-18%20at%208.47.20%20AM%20(1)]
MGOMBEA wa kiti cha Rais wa ...
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment