Afisa wa Mawasiliano wa Benki ya Diamond Trust Bank Tanzania Selevester Bahati akizungumza wakati wa hafla ya Futari iliofanyika katika viwanja vya Bustani ya Ngome Kongwe iliofanyika jana Jijini Zanzibar, na kuwajumuisha Wateja wao wa Tawi la Zanzibar na Wananchi mbalimbali. Mgeni Rasmin Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe..Dkt. Samia Suluhu Hassan
Amemuapisha Mhe. Hamza Johari Kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akimuapisha Bw. Hamza Saidi Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwenye
hafla...
39 minutes ago

No comments:
Post a Comment