Wakuu wa Wilaya ya Wete Pemba na Wilaya ya Magharibi A Unguja kulia Mkuu wa Wilaya ya Wete Kapteni Khatib Khamis Mwadin na kushoto Mkuu wa Wilaya ya Magharibi A Unguyja Ndg. Abeid Juma Ali, wakipitia hati zao za Kiapo kabla ya kuaza kwa hafla hiyo iliofanyika leo Ikulu Zanzibar.
HAKI ELIMU : BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 IZINGATIE DIRA YA TAIFA 2050
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
TAASISI ya HakiElimu imependekeza kwa Serikali kupitia Wizara ya Elimu
kutenga Bajeti mahususi kwaajili ya kuhuisha mpango ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment