Habari za Punde

Viongozi Walioteuliwa Hivi Karibu na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,Waapishwa Leo Ikulu Zanzibar

 Wakuu wa Wilaya ya Wete Pemba na Wilaya ya Magharibi A Unguja kulia Mkuu wa Wilaya ya Wete Kapteni Khatib Khamis Mwadin na kushoto Mkuu wa Wilaya ya Magharibi A Unguyja Ndg. Abeid Juma Ali, wakipitia hati zao za Kiapo kabla ya kuaza kwa hafla hiyo iliofanyika leo Ikulu Zanzibar.















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.