Mchezaji wa Timu ya Chipukizi akimpitabeki wa Timu ya Mlandege, wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika katika katika Uwanja wa Mao. Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao.4-1.
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment