Wachezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Zanzibar wakiingia Uwanjani wakiwa wameshikilia Ngao ya Hisani ya Ufunguzi wa Ligi Kuu ya Zanzibar . mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar uliozikutanisha Timu za KMKM Mabingwa wa Zanzibar mwaka 2018 /2019 na Timu ya Malindi. kushoto Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Zanzibar na Timu ya Malindi Zanzibar Mzee Salum Nassor Mkweche na kulia mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa na Timu ya Jeshi na Ujamaa Mzee Mohammed Ahmed Mwanga.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment