Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Kisasa Mradi wa Kwahani Mpya umeaza kwa awamu ya kwanza kusafisha eneo hilo kwa kuaza kwa ujenzi huo wa Nyumba za Kisasa zinazojengwa katika eneo hilo.
DKT. KIKWETE: NCHI ZA AFRIKA ZINAHITAJI KUWEKEZA ZAIDI KATIKA TAFITI NA
KILIMO
-
Na.Vero Ignatus ARUSHA
Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Umasikini umefanyika Jijini Arusha kwa
lengo la Kuwaunganisha wataalamu wa utafiti na watunga ...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment