Habari za Punde

Ndege Kubwa ya Qatar Air ya Dreamliner 787-800 Yawasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar leo Ikiwa na Abiria 250

Ndege ya Shirika la Ndege la Qatar Air Aina ya Dreamliner 787-800 ikiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar ikiwa na Abiria 250, wakitokea Nchini Qatar,hufanya safari zake kila Siku Kati ya Qatar hadi Zanzibar.Dreamliner ni safari yake ya kwanza kuja Zanzibar. Kama inavyoonekana ikiwa katika harakati za kushusha mizigo baada ya kuteremka abiria wake na ina uwezo kuchukua Kontena.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.