Ndege ya Shirika la Ndege la Qatar Air Aina ya Dreamliner 787-800 ikiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar ikiwa na Abiria 250, wakitokea Nchini Qatar,hufanya safari zake kila Siku Kati ya Qatar hadi Zanzibar.Dreamliner ni safari yake ya kwanza kuja Zanzibar. Kama inavyoonekana ikiwa katika harakati za kushusha mizigo baada ya kuteremka abiria wake na ina uwezo kuchukua Kontena.
SOMALIA KUSHIRIKIANA NA MSD KWENYE MANUNUZI YA BIDHAA ZA AFYA NA
KUBADILISHANA UZOEFU
-
Rais wa Somalia Mheshimiwa Hassan Sheikh Mohamud amesema nchi yake imeamua
kushirikiana kwa karibu na Bohari ya Dawa ya Tanzania katika ununuzi wa
bidhaa z...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment